Psalms 8:4-6


4 amwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,
binadamu ni nani hata unamjali?

5 bUmemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,
ukamvika taji ya utukufu na heshima.


6 cUmemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;
umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
Copyright information for SwhKC